![]() |
| Mkurugenzi Mtendaji wa COSOTA Yustus Mkinga akifafanua juu ya hakimiliki za kazi za wasanii nchini katika hafla ya uzinduzi wa Kituo cha AFRICA MAGIC SWAHILI zilizofanyika jijini Dar es Salaam. |
![]() |
| Baadhi ya wafanyakazi wa Multichoice Tanzania wakishuhudia uzinduzi huo. |
![]() |
| Mmoja wa watengezaji filamu za kibongo maarufu kwa jina Mtitu akitoa hoja katika uzinduzi wa kituo cha AFRICA MAGIC SWAHILI zilizofanyika jijini Dar es Salaam. |
![]() |
| Baadhi ya wasanii wa filamu za kibongo waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa kituo cha AFRICA MAGIC SWAHILI iliyofanyika jijini Dar es Salaam wakifuatilia uzinduzi huo. |
![]() |
| Muigizaji na Mtengenezaji Filamu za kibongo Steven Kanumba hakuwa nyuma katika kuchangia hoja mbalimbali kwenye uzinduzi huo. |








No comments:
Post a Comment