Monday, June 27, 2011

‘Shaggy’ alivyojiachia ndani ya Visiwa vya Zanzibar







Pichani ni mwanamuziki wa kimataifa wa ragga na mshindi wa tuzo za Grammy 2011, Orville Richard ‘Shaggy’ alivyojiachia ndani ya Visiwa vya Zanzibar wakati alipokuwa akielekea wa ajili ya tamasha la filamu za nchi za majahazi maalufu kama (Zanzibar International Film Festival-ZIFF) lililofanyika ndani ya Ngome kongwe na kufurika mamia wa mashabiki kumshuhudia mjamaika huyo anayeishi marekani.

No comments:

Post a Comment