Monday, June 27, 2011

SHAGGY ATAWAZWA KUWA CHIFU NA BALOZI WA KABILA LA WASUKUMA BUJORA, MWANZA

SHAGGY AKIWASILI MJINI MWANZA
 


 
Mwanamuziki Shaggy wa Marekani akiondoka kwa kucheza huku akiwa ameshikilia usinga na kusindikizwa na vigoli wa kabila la kisukuma wakati alipokuwa akiondoka katika eneo la tukio mara baada ya kutawazwa kuwa chifu wa kabila la wasukuma, katika tamasha la ngoma za asili la Siku ya Mavuno yaani (Bulabo) kwa Kisukuma lililofanyika katika kijiji cha Kisesa mahali ambapo pana makumbusho ya Bujora yaliyohifadhi tamaduni zote za kabila la wasukuma.

Mwanamuziki Shaggy akishangilia mara baada ya kumtawazwa kuwa chifu wa kabila la wasukuma katika kijiji cha Kisesa.
 



No comments:

Post a Comment